Google Street View ni teknoljia iliyomo katika  Google Maps na  Google Earth inayokupa taswira kutoka mitaa mbalimbali duniani. Ikiwa imeanzishwa mnamo Mei, 25, 2007 hivi sasa Google wanakupatia picha halisi kwenye mtandao kama kwamba umepiga wewe. Kwenye mitaa ya kawaida hutumika magari yenye kamera kama hilo hapo juu. Kwenye barabara finyu ama njia za waendao kwa miguu tu kuna baiskeli maalumu kwa kazi hiyo. Hapo ilikuwa jana wakati ankal alipokutana na gari hiyo mitaa ya Washington DC.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...