Mtoto Michelle Raymond akimlisha keki rafiki yake,Enid Mollel ambaye alikuwa akisheherekea siku yake ya kuzaliwa nyumbani kwao Kaloleni jijini Arusha juzi(picha na moses mashalla
 Mtoto,Enid Mollel akimlisha keki mama yake,Magreth Olotu wakati akisheherekea siku yake ya kuzaliwa kwa kutimiza umri wa miaka 11 iliyofanyika nyumbani kwao eneo la Kaloleni jijini Arusha.
 Ndugu,jamaa na marafiki wakimpongeza mtoto,Enid Mollel(aliyevalia nguo nyeusi(baada ya kutimiza umri wa miaka 11 wakati akisheherekea  siku yake ya kuzaliwa iliyofanyika nyumbani kwao juzi eneo la Kaloleni jijini Arusha.
Mtoto Enid Mollel akikata keki wakati akisheherekea  siku yake ya kuzaliwa 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. hongera magreth kwa kukuza jamani Enid amekuwa mdada. happy birthday Enid

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...