Unakaribishwa katika ibada maalum ya maombi, mahubiri na nyimbo za injili itakayo fanyika Jumamosi tar. 27.08.2011 kuanzia saa 7:30 mchana, hapo New Vincent's Restaurant, 288-290 Oxford Road, Reading. 

'...Kwa maana Bwana, Mungu wako, yeye ndiye anaekwenda pamoja nawe, hata kupungukia wala kukuacha.' 

Kumbukumbu la Torati. 31:6.  

Karibu ili ubarikiwe!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...