Kutokana na hali ya kutokuwepo kwa Umeme wa Tanesko katika kijiji cha Kilangala,Mkoani Lindi.Kinyozi huyu ambaye anaonekana anaipenda kazi yake ameamua kuiendeleza kazi yake hiyo kwa kutumia Umeme wa Sola kama mashine zake zinavyoonekana hapo juu.
Moja ya Nyumba zilizopo pembezoni mwa Fukwe ya Bahari ya Hindi,iliyopo katika mji wa Lindi kama ionekanavyo.
Mtaa wa Ghana mjini Lindi.
Sehemu ya Kip left ya mji Lindi kama inavyoonekana leo huku kwa mbele kule ni jengo la Benki ya CRRD.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Sijawahi kufika Lindi lakini nimependa mandhari ya huko kusini. Bado panaonekana virgin if you know what i mean.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...