Bw.  Harusi  ambaye ni afisa ardhin wailaya ya Ludewa  Joseph kamonga akiwa amemnyanyua mai waifu wake  Dostea chalamila baada ya kumeremeta huko Ludewa Jumamolsi hii 
 Joseph  na Dostea wakifungua dansi wakati wa mnuso wao ulioandaliwa katika ukumbi wa CCM Ludewa usiku wa kuamkia leo
 Mbunge wa jimbo la Ludewa Mh. Deo Filikunjombe (kulia) na katibu wake wakiwa ndani ya ukumbi wa harusi ya afisa ardhi wilaya
 MC Mgongolwa akiwajibika ndani ya ukumbi
Bwana harusi Joseph (kulia) akicheza na msanii Yaki ndani ya ukumbi wa CCM wilaya ya Ludewa. Picha zote na Francis Godwin

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. WanaLudewa mkoo juu sana. Atleast tunawaona ktk mtandao. Wapeni salamu wooote akina Dallu,Madeda, Sungwana, Ismail, the Andondile and many more.
    Toka

    ReplyDelete
  2. Hongera sana brother. I wish ningekuwepo! All da best katika maisha mapya.Wasalimie wote. Kweli dunia sio kijiji tena, it's a global lounge.

    ReplyDelete
  3. Karibuni katika ulimwengu wa 1+1=1. Hongereni kwa kutoka katika steji ya machaguo mengi na kufikia steji ya machaguzi ya joseph na dorotea tu. Kila laheri na maisha mema posted by daudi kumburuKaribuni katika ulimwengu wa 1+1=1. Hongereni kwa kutoka katika steji ya machaguo mengi na kufikia steji ya machaguzi ya joseph na dorotea tu. Kila laheri na maisha mema posted by daudi kumburu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...