Ofisa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Bw Daniel Sagata akiwaelemisha wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Kijiji cha Matumaini Mkoani Dodoma kuhusu Masuala ya Mabadiliko ya Tabianchi wakati walipotembelea Banda la Ofisi ya Makamu wa Rais kwenye Maonyesho ya Nane nane yanayoendelea kwenye Viwanja vya ,Nzuguni Mkoa wa Dodoma.{Picha na Ali Meja] .

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...