Mdau ambaye ni mkuu wa ofisi ya United Nations Office for Coordination for Humanitarian Affairs nchini Papua New Guinea,Ndg Ruger Kahwa (Kati) akiwa na Rais wa Autonomous Government of Bougainville Mr John Momis (Kulia) na Mtaalam wa masuala ya katiba na usuluhushi (Kushoto), Mara baada ya semina ya kuangalia mustakabali wa mkataba wa amani kati ya Paua New Guinea na Visiwa vya Bougainville baada ya miaka kumi. Semina iliyofanyika kisiwani Bougainville.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...