Waziri Mkuu wa Serikali ya chuo kikuu cha TIBA ( IMTU) Daniel Msafiri akisistiza jambo Aug 25-2011 mbele ya waandishi wa habari wakati Viongozi wa jumuiya ya wanafunzi wa chuo Kikuu cha TIBA (IMTUSO) walipokutana na waandishi wa habari na kuzungumza nao kuhusu matatizo mbalimbali ya kitaaluma yanayoendelea kuwakabili wanafunzi wa chuo hicho, (kushoto mwanamke) ni Waziri wa Afya wa Serikali ya wanafunzi IMTU Vivian Mpangalala
Rais mstaafu wa chuo Kikuu cha TIBA cha IMTU Jonas Mushi akionyesha baadhi za nyaraka za Mikataba ya chuo na wanafunzi wakati viongozi wa jumuiya ya wanafunzi wa chuo kikuu cha TIBA (IMTUSO) walipokutana na waandishi wa habari kuzungumzia matatizo mbalimbali ya kitaaluma yanayoendelea kukabili wanafunzi wa chuo hicho, Mwengine ni Waziri Mkuu wa Serikali ya chuo kikuu cha TIBA (IMTU )Daniel Msafiri (suti nyeusi), (Aug, 25,2011) jijini Dar es Salaam
Waziri wa Elimu wa serikali ya wanafunzi wa IMTU cha mjini Dar es Salaam Mwita Waibe
(kulia) akionyesho nyaraka kwa waandishi wa habari inayohusu makubaliano ya tiba chuoni hapo baina ya uongozi wa chuo cha IMTU na Wanafunzi August 25,2011 jijini. Uongozi wa jumuiya ya wanafunzi wa chuo kikuu cha TIBA (IMTUSO) imekutana na wanahabari hao kuzungumzia matatizo mbalimbali ya kitaaluma yanayoendelea kuwakabili wanafunzi wa chuo hicho (kushoto pichani ni ) Waziri Mkuu wa Serikali ya ya wanafunzi wa IMTU Farah IbrahimRais wa Serikali ya wanafunzi wa chuo cha TIBA (IMTU) cha jijini Dar es Salaam Yeredi Chacha (suti nyeusi) akiongea jijini Dar es Salaam Aug,25,2011 katika mkutano wa viongozi wa jumuiya ya wanafunzi wa chuo kikuu cha TIBA (IMTUSO) kuzungumzia matatizo mbalimbali yanayowakabili wanafunzi wa chuoni hapo mbele ya waandishi wa habari, (Kulia mwenye miwani ) ni Rais Msataafu wa chuo hicho Jonas Mushi.
Picha na Mwanakombo Jumaa - MAELEZO
Habari ya kazi kaka michuzi.
ReplyDeleteSamahani kwa hili,naomba kupitia kona hii ya maoni niwasiliane kwa kina na Rais wa chuo anayeongea hapo Bwana Yeredi Chacha.Kama atabahatika kusoma hapa au kama anaweza kupewa taarifa na mdau yeyote atakae pata hii taarifa.Naomba niwasiliane nae kwa mail address: joachim.kulwa@yahoo.com au simu no.+91 8712744965.