Video ya Ras Nas pamoja na Dekula "Vumbi" Kahanga kwenye tamasha la Mela lililofanyika Oslo, Norway 29 Julai. Ilikuwa kivumbi na jasho. Kikosi cha Ras Nas kilijumuisha wanamuziki kutoka mataifa mbali mbali kama vile DRC, Congo Brazzaville, Ivory Coast, Sudan, Uganda, Norway na Australia.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Jamaa mziki umetulia! Shukran Bwana Michuzi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...