Kulia ni Eprahim Kibonde,Wasi Wasi Mwabulambo pamoja na Arnod Kayanda.
Timu ya Jahazi ya Clouds Fm inayofuraha kuwatangazia wadau wote wa Jahazi njia mpya na nzuri ya kutoa maoni wakati mijadala mbali mbali inapoendelea ndani ya Jahazi la Clouds Fm.
Jumatatu hadi ijumaa kuanzia saa kumi jioni hadi saa 1 (4pm-7pm).
Kujiunga tuma Neno JAHAZI kwenda 15774 kushiriki na kushiriki Andika JAHAZI acha nafasi harafu andika maoni yako tuma kwenda namba 15774.
NB: Huduma hii ni kwa mitandao yote ya simu na hakuna malipo ya aina yeyote ila yatatozwa.
Jumatatu hadi ijumaa kuanzia saa kumi jioni hadi saa 1 (4pm-7pm).
Kujiunga tuma Neno JAHAZI kwenda 15774 kushiriki na kushiriki Andika JAHAZI acha nafasi harafu andika maoni yako tuma kwenda namba 15774.
NB: Huduma hii ni kwa mitandao yote ya simu na hakuna malipo ya aina yeyote ila yatatozwa.
Wekeni huduma hii online pia....wengine si tunasikilizia online huku ughaibuni...au mmetusahau!!
ReplyDeleteOlewenu ni katwe pesa,nitawaburuza mahakamaniOlewenu ni katwe pesa,nitawaburuza mahakamani
ReplyDeleteWajameni hivi ni harafu au halafu mbona tunasungumsa kikurya kwenye glongo cha jamii. Eti WEE Chibonde chaidia basi
ReplyDeleteHakuna malipo ya aina yoyote ILA YATATOZWA- Hapo kunausanii... Lazima unakatwa vocha hapo angalia statment baada ya "ILA"
ReplyDeleteWATU WA FACEBOOK INAKUAJE?? NAOMBA MTUELEWESHE HAPA.
ReplyDelete