![]() |
| HII NI ZANZIBAR YA MIAKA HIYO, HAPA NI MTAA WA KISIWANDUI ENEO AMBALO KWASASA NDIPO PALIPO JENGWA OFISI KUU YA CHAMA CHA MAPINDUZI, BAHARI HII ILIANZIA MTAA WA MAISARA HADI ILIPO HOTEL YA BWAWANI |
JENGO HILI HADI LEO LIPO NA LINATUMIWA KAMA KAWAIDA HAPA NI MTAA WA DARAJANI JENGO LINA ANGALIANA NA MAKONTENA YA DARAJANI LIMEPAKANA NA SOKO KUU LA DARAJANI NA DUKA LA MUZAMIL KUSHOTO KWAKE NA HAPO HASA NDIPO PALIPOKUWAPO NA DARAJA LILILO UNGANISHA KATI YA MJI MKONGWE NA NGAMBO, KUMBUKA KUWA MAJI HAYA YA BAHARI YALIANZIA MTAA WA MAISARA HADI HOTELI YA BWAWANI NDIO ULIO KUWA MPAKA WA MITAA HIYO MIWILI.




Eeeeeeeh umeturudisha mbali sana, enzi za 1920s huko.
ReplyDeleteHongera kwa kuleta picha za historia.
Ahsante kwa kumbukumbu nzuri, lakini hiyo picha hiyo ni wakati Mzee Karume atakuwa na umri wa miaka 5 au hajazaliwa kabisa! - hivyo hizo picha si za wakati wa Mzee Karume ni za zamani zaidi
ReplyDelete