Ofisa wa Dawati la Elimu kwa Umma wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Nchini (TAKUKURU) Mkoa wa Morogoro, Jesca Kamugisha (mbele) akitoa somo kwa Askari watarajiwa wa Jeshi la Mgambo wa Manispaa ya Morogoro,wakiwa ni wadau wa mapambano dhidi ya Rushwa, kama walivyokutwa eneo la Viwanja vya Gofu mjini hapa wakipewa dozi hiyo.Picha na John Nditi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hii kweli BOngo! Unategemea Askari hao watakuwa na uelewa gani kama hadi seminer kuhusu jambo muhimu kama Rushwa inafanywa chini ya Miti!!!!!!! kaazi kweli kweli

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...