BWANA NA BIBI MUHANDO.
JULY 19, 1945 – SEPTEMBER 05, 2010 NA FEBRUARI 07, 1950 – SEPTEMBA 04, 2006

BABA NI MWAKA MMOJA; MAMA NI MIAKA MITANO KAMILI SASA TANGU MTUTOKE. MMETUACHA NA MAJONZI NA MAUMIVU MIOYONI MWETU. 

 TUNAKUMBUKA SANA UWEPO WENU TUKITAMANI MUNGU ANGEWAACHA JAPO KWA MIAKA MICHACHE, MIDOMO YETU HAIWEZI KUELEZEA JINSI TULIVYOWAPENDA, LAKINI MUNGU ANAJUA JINSI GANI TULIVYOWAPENDA, NA JINSI GANI TUNAKUMBUKA MAPENZI YENU, WEMA WENU NA MWONGOZO KATIKA NYUMBA YETU AMBAYO NI PWEKE SASA.

MNAKUMBUKWA SANA NA WATOTO LEMMY, WILSON, LOI, CHRISTINE NA LAWRENCE, ULLA, LAURA & STANLEY WAJUKUU, PAMOJA NA NDUGU WOTE NA MARAFIKI. KIMWILI HAMKO NASI, BALI KIROHO MKO NASI DAIMA.

MWENYEZI MUNGU AZIPUMZISHE ROHO ZENU MAHALA PEMA PEPONI.

 AMEN.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. May their souls RIP, Amen.
    RLosiru

    ReplyDelete
  2. RIP. Picha inasikitisha, utadhani bado wako hai. do dunia tunapita jamani

    ReplyDelete
  3. Mungu aendelee kuwalaza mahali pema peponi Amina!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...