Balozi wa Rwanda Mhe. Edda Mukabagwiza akiwa katika mazungumzo na balozi wetu nchini Canada mara baada ya kusaini kitabu cha maombolezo ya waliopata ajali ya Meli ya Mv. Spice Islander iliyotokea hivi karibuni huko visiwani Zanzibar,nchini Tanzania.
 Balozi wa Serbia Mhe. Zoran Veljic akiweka saini kitabu cha maombolezo ya waliopata ajali ya Meli ya Mv. Spice Islander iliyotokea hivi karibuni huko Zanzibar.
 Balozi wa Cuba Mhe. Teresita de Jesus Vicente Sotolongo akiweka saini kitabu cha maombolezo ya waliopata ajali ya Meli ya Mv. Spice Islander iliyotokea hivi karibuni huko Zanzibar.
Balozi wa Lesotho Mhe. Mathapo Tsepa akiweka saini kitabu cha maombolezo ya waliopata ajali ya Meli ya Mv. Spice Islander iliyotokea hivi karibuni huko Zanzibar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...