Bwana Michuzi, salaam. 
Awali nakusihi uweke jina langu kapuni, ili ndugu, marafiki na wanangu wasinishangae.Kusudi la ujumbe ni kukupatia picha nilizopiga zenye jina la mtaa mmoja katika Jiji la Kinshasa, Eneo liitwalo Gombe. Ukiona yafaa waweza kuwatundikia wadau kwenye blog yetu.Kazi njema.Mdau-Kinshasa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. Ha ha ha ha ha ...wacongo bwana!!!!!!1

    ReplyDelete
  2. wewe nawe,sasa cha ajabu haswa hapo ni nini? hilo si jina tu kama majina mengine!!!!

    ReplyDelete
  3. Mngetuambia jina lina maana gani kwa "kilingara" pia.

    ReplyDelete
  4. Tobaaaah!!!!!!!!

    ReplyDelete
  5. Kilingala na kifaransa hilo jina la mtaa linatankwa kitofauti na maana yake pia ni tofauti na tunayoifikiria kibongo. Ukweli ukitembea utaona mengi. Ndivyo ilivyo na kwa majina ya wenzetu wajapan, wahindi, wakibosho na wangoni. Muulize mkibosho yoyote kama kuna mtu anaitwa MBOYA. HAWA JAMAA BAADA YA KUJUA KISWAHILI WALIBADILISHA MAJINA YAO

    ReplyDelete
  6. Inanikumbusha kifaransa changu cha Form Two: Je suis tombe'

    ReplyDelete
  7. Labda walitaka kuandiaka PUMBA teteteehh

    ReplyDelete
  8. Kuna AVENUE MAVUZI PIA HAPO KINSHASA

    ReplyDelete
  9. Mie nimecheka hayo maoni ya Hugo ndugu alkyd tunis michuzii, maana hofu kibao...

    ReplyDelete
  10. Mbona wakilimanjaro wana majina ya ajabu, akina MBORO si wapo jamani kwa akina MBOWE. Kuna jamaa mmoja ilibidi alibadili jina ili apate kazi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...