Kampuni ya umojaphone haikuwa nyuma katika mkutano wa DICOTA - Washington DC. Umojaphone uliwawezesha watanzania kupiga simu nyumbani kwa bei poa kabisa. 
www.umojaphone.com 

 Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na mdau John Sausi wa Umoja Phone wakati alipowasili kufungua DICOTA Convention 2011 huko Virginia, Washington, Marekani
 John Sausi na mwenzie wakitioa maelezo kuhusu Umoja Phone
 Rais Kikwete akipata maelezo kuhusu Umoja Phone

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Way to go my dearest friend John Sausi. Big Up!

    ReplyDelete
  2. Mchizi Saus nikikuonaga hivi nakumbuka B.U.P.A

    ReplyDelete
  3. Congratulations guys!! So proud of you!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...