Vodacom Miss Tanzania Genevieve Mpangala na Miss Africa 2004 Cynthia Kanema ambae ni mgeni rasmi katika show ya Vodacom Miss talent leo katika hotel ya Giraffe wakikabidhi msaada wa vyakula mbalimbali kwa Kuruthumu Yusuph ambae ni Mlezi wa kituo cha kulelea watoto yatima wa kituo cha Al-madina kilichopo Tandale jijini Dares salaam.

Miss Africa 2004 Cynthia Kanema (kushoto)ambae ni mgeni rasmi katika show ya Vodacom Miss talent leo itakayofanyika Giraffe Hotel leo na Mlezi wa kituo cha kulelea watoto yatima wa kituo cha Al-madina kilichopo Tandale wakimsikiliza Mkuu wa Itifaki wa kamati ya Miss Tanzania Bw.Albert Makoe kulia akifafanua jambo wakati wa makabidhiano wa msaada wa vyakula mbalimbali kwenye kituo hicho.

Baadhi ya warembo wanaoshiriki katika shindano la Vodacom Miss Tanzania 2011 wakiwa wamewabeba baadhi ya watoto yatima wa kituo hicho mara baada ya kufika kituoni hapo kwa lengo la kutoa msaada wa vyakula mbalimbali.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...