Umati ukiwa Coco Beach jijini Dar leo kama ilivyokamatwa na Kamanda Mwaikenda

 Mdau akikatiza na pikipiki katikati ya kundi la watu.
 Mambo kama haya huwaga hayakosekani katika fukwe ya coco beach katika kipindi kama hiki cha sikukuu.
 Mambo ya Pwezaa.
 Askari Polisi walikuwepo kila kona ya fukwe ya coco beach ili kuhakikisha usalama unapatikana wa kutosha.
Kila alietenda kosa leo pale coco beach alikuwa akiongoza mwenyewe kwenye Gari la Polisi lililokuwa limepaki pembeni ya fukwe ya coco beach kama ilivyokuwa kwa wadau hawa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. We Misupu usiwe Mshamba hao "raia" wanaoingia kwenye gari sio wahalifu. we huoni tu wanavyoingia kwa uhuru.

    Hao ni askari kanzu wanajivalisha kulingana na mazingira waliopo ili wasistukiwe kumbe wao wako kazini.

    Hapo walijivalisha kama nao wamekuja kuogelea vile kumbe wako kazini. Hata majini wanaweza kujilowesha kumbe wako kazini.

    Kalaganhaho!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...