Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mheshimiwa Bernard Membe (kulia) akizungumza na mwakilishi wa Serikali ya Australia Bwana Leslie Rowe alipokutana nae leo ofisini kwake. Miongoni mwa mambo waliyozungumzia ni maandalizi ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali za Jumuiya ya Madola unaotarajiwa kufanyika mjini Perth, Australia mwishoni mwa mwezi Oktoba (picha na Mindi Kasiga - Mambo ya Nje).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...