Mkazi wa Kata ya Magomeni, iliyopo katika Tarafa ya Kilosa Mjini, ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja, akikatisha ndani ya mto Mkondoa kuelekea upande wapili wa Kata ya Mbumi, kama alivyokutwa na Kamera Man wetu aliyopo katika eneo hilo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. naomba mrejesho kama alivuka salama...manake sasa naona hatari hatari tu humu..hivi jamani vipi kuhusu mamba a.k.a crocodiles humu....

    ReplyDelete
  2. Duh!

    Akitokea MAMBA hapo si itakuwa Nouma sana?

    ReplyDelete
  3. This is dangerous, never try it at home never agin.

    ReplyDelete
  4. Does he know escapeology from crocodiology by swimology? Otherise he will diology for sure!

    ReplyDelete
  5. Kijana anawahi shule, acheni kelele kwakuwa mko ughaibuni mnajidai na hivyo vi visa. Hayo ndio maisha halisi ya mTZ. Hao wazungu wenu walituibia sisi ndio wakapata hayo maisha mnayoyafaidi nyinyi huko.

    ReplyDelete
  6. hahhahahaha....uloandika hizo "...ology" u r so funny, looooooooooool

    ReplyDelete
  7. Huyu kijana mi namjua. Msiwe na hofu wadau. Alifanikisha kufika ngámbo ya pili bila kukabiliana na mamba. Ni jirani yangu na anaujulia mto vizuri. It could be dangerous but he tried it at home and it worked. Wekeni silaha chini hasa nyie wa ughaibuni.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...