





Picha na Kamanda Mwaikenda
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Michezo wanacheza Vijana..
ReplyDeleteBaraza limejaa Wazee watupu.
Wapi na Wapi?
hata mpira wanacheza vijana lakini makocha ni wazee.
ReplyDeleteBaraza hili linaonekana kuwa na mkusanyiko wa watu wa kada mbalimbali na hivyo likishirikishwa vizuri na kufanya mambo kwa kuzingatia utaratibu na kufaidi utaalamu uliomo ndani ya baraza, basi linaweza kutoa dira yakinifu na mwongozo endelvu wa kulikwamua taifa katika hali ya sasa ya michezo ambayo kwa kzingatia hotuba ya waziri, hali ni mbaya sana.
ReplyDelete