WACHEZAJI wa timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars wakiwa katika mazoezi ya kujiandaa na mchezo wa kuwania kufuzu kushiriki kombela Mataifa ya Afrika yanayotarajia kufanyika mwakani kati ya Gabon na Equatorial Guinea , mchezo wanaojiandaa nao ni dhidi ya Morocco utakaochezwa Oktoba 9 mjini Marakech. Stars  iko  katika  mazoezi  yanayoendelea  kwenye  uwanja  wa  kumbukumbu   ya  Karume  jijini Dar es Salaam  kabla  ya  kuondoka Oktoba   kuelekea  Morocco.
 Athumani Machupa akipambana na Henry Joseph Mazoezini
Mbwana Samatta akikontrooo ndinga mbele ya mwenzie. 
Picha na Francis Dande wa Globu ya Jamii

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Inamaana benchi zima la ufundi halifahamu kama viatu walivyo vaa hawa jamaa ni vya nyasi na uwanja ni kapeti????

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...