Mama Faiza Choka akimpongeza bintiye Hawa Choka baada ya kula nondozzz ya kuhitimu kidato cha 4 siku ya Jumamosi katika Shule ya Sekondari ya Sayansi Wasichana ya Kandoto, Same.
Picha ya pamoja Bamdogo Maez, Mama Mzazi Faiza Choka na bintiye Hawa Choka baada ya kula Nondozz Kidato cha 4 Kandotio Girls.
Hongera sana HAWA,na jitahidi zaidi mungu atakusaidia unatutia moyo sana kukuona imekuwa mkubwa kiumbo na ELIMU, i wish ningekuwa hapo nikakupa zawadi yako ila nakuwekea
ReplyDeletepicha yako na wazee wako mmependeza sana mwenyezi mungu akufungulie kila lenye kheri na wewe mtoto amin
ni mas
Hivi ile issue ya Wizara ya elimu kupiga marufuku uvaaji wa majoho kwa chekechea eti unapunguza heshima ya digirii iliishia wapi?
ReplyDeleteHongera Hawa!
Hongera sana Hawa, mwenyezi Mungu akujaalie kila la kheri na akuongoze katika mafanikio yako kielimu na Kimaisha.
ReplyDeleteKakiyo!
BRAVO BABY GAL, CONGRATULATIONS TO YOU AND YOUR FAMILY! OUR DEAR FATHER LATE MZEE CHOKA MUST BE SMILING AT YOU RIGHT NOW!! YOU STILL HAVE LONG WAY TO GO. KEEP IT UP.
ReplyDeleteHALIMA SATO
BLOCK 41