Mtuhumiwa wa wizi akipelekwa korokoroni baada ya kujisalimisha katika benki ya Azania Mtaa wa Samora leo baada ya kumwibia mzungu mkoba wake na kuchezea kipigo kutoka kwa wananchi
Askari wa kampuni binfasi akidhibiti umati uliokuwa ukimuandama jamaa huyo
Maofisa wa benki ya Azania wakihangaika kuwazuia watu wasiingie ndani ya benki hiyo kumchapa mwizi
Akidandia gari mwenyewe
Wananchi walipostukia kuwa anatoroshwa walimfuata hukohuko na kukuta akiondolewa na gari la Polisi kwa mlango wa uani


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...