Wadau wa Konyagi wakiwa katika Kilimanjaro Beer Festival jioni hii katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar es salaam. Leo ni hadi lyamba na kesho tena hadi majogoo. Tamasha limeandaliwa na BONGO 5 kwa kushirikiana na TBL kupitia kilaji cha Kilimanjaro Premium Lager
Meza kuu ya Tanzania Distilleries
DSTV bin MultiChoice ndani ya nyumba
Meneja wa kilaji cha Ndovu Special Malt Pamela kikuli na kinadada wanaohudumua bandani hapo
Mini-golf katika banda la Ndovu na Castle Lite
Ankal na wadau ndani...
Nyama choma kwa kwenda mbele
Wadau wa Kilimanjaro Beer Festival










Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...