Mke wa Rais Mama Salma Kikwete (kushoto) akiwa pamoja  na baaadhi ya wake wa viongozi wawaliohudhuria mkutano wa wakuu wa nchi wanachama wa jumuia ya madola wakiangalia sanaa ya asili wa watu  wa nchi ya Australia oktoba 29. 2011 inayopigwa na Olman Walley walipofanya ziara ya kuangalia aina mbalimbali  ya wanyama ,bustani ya  hifandi  ya miti ya asili kwenye eneo la Caversham Wildlife Park  .Pichani wa pili kulia ni Mke wa Rais wa Nigeria Patience Jonathan.
 Mama akionyeshwa vazi la asili-na mhifadhi   olman walley-    Mke wa Rais Mama Salma Kikwete (kushoto) akiangalia pamoja na kupatiwa historia  mbalimbali kuhusu aina ya vazi  liliotengenezwa kwa ngozi ya mnyama  wa asili  ya Kangaroo . kutoka kwa mhifadhi Olman Walley walipotembelea bustani ya mimea ya asili pamoja na wanyama katika  eneo maalumu la King's Park Austaralia.
 Picha ya Mhifadhi Olman Walley  ikiwa ni kielelezo cha kuonyesha jinsi ya  utamaduni wa  vazi  la  zamani  la  asili ya watu wa Australia . Jamani  utamaduni  tusidharau utamaduni wetu. unamouna alivyopendeza?

Mama Salma Kikwete (kushoto) akiangalia pamoja na kupatiwa historia  mbalimbali kuhusu aina ya vazi  liliotengenezwa kwa ngozi ya mnyama  wa asili  ya Kangaroo . kutoka kwa mhifadhi Olman Walley walipotembelea bustani ya mimea ya asili pamoja na wanyama katika  eneo maalumu la King's Park Austaralia. Picha zote na mdau Mwanakombo Jumaa-MAELEZO.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Wazung bwana. Wameamua kuwatangaza Aborigino ambao ni kizazi mchanganyiko na wazungu. Aboriginal asilia ni weusi kama waafrika na bado wapo Australia. Hawana pua ndefu kama huyo aliyeoneshwa. Tofauti na waafrika ni kwamba miili yao na nyuso zao ni pana kuliko za waafrika na pia nyele zao ni ndefu japo hazipo katika mpnagilio mzuri kama za wazungu.

    ReplyDelete
  2. hawa wazungu wapuuzi kabisa. wana historia gani australia wakati ni wavamizi? kila mtu anajua kuwa australia ni nchi ya watu weusi aboriginal na sio wazungu.

    kumuangalia tu unaona kuwa jamaa anajitahidi kuvaa mavazi sio yake na hajaelekea kabisa.....

    ReplyDelete
  3. mama, usishike kioo utaacha mavidole.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...