Mh Mutinda akiwa na wenyeji wake Dr Julie Makani na Dr Soka wa kitengo cha siko seli Muhimbili.
 Mh Balozi wa Kenya akipata maelezo kutoka kwa muuguzi wa kliniki ya siko seli Sr Kowero.
 Mh balozi akimuangalia mtoto anayeishi na ugonjwa wa siko seli

Hapa akipata maelezo ya kina kutoka kwa mtaalamu wa magonjwa ya siko seli.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. kutokana na taarifa nilizopata kutoka kwa mgonjwa mmoja wa sikocell anasema hakuna ward ya sikocell peke yao wagonjwa wanachanganywa na wagonjwa wengine wenye shida tafauti,hii kiafya sio sawa kabisa,sikocell ni ugonjwa mtu anazaliwa nao na upo ktk damu,vp unamchanganya na mgonjwa wa kuambukiza?naomba wadau wenye kufahamu zaidi wanielimishe,nimeomba nielimishwe musinijibu kwa njia mbaya mimi nataka kujua

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...