Mkurugenzi Mtendaji wa Vodafone Vitorio Colao(kulia)akijadiliana jambo na mfanyakazi wa Vodacom Tanzania Samwel Mwakipesile mara alipowasili nchini kwa lengo la kujionea jinsi gani kampuni hiyo inavyoendesha shughuli zake hapa nchini .
Mkurugenzi Mtendaji wa Vodafone Vitorio Colao akisalimiana na wafanyakazi wa Vodacom Tanzania mara alipowasili nchini hivi karibuni akiwa na lengo la kujionea jinsi Vodacom Tanzania inavyoendesha shughuli zake.
Mkurugenzi Mtendaji wa Vodafone Vitorio Colao katikati akimsikiliza Kaimu Mkurugenzi wa CCBRT Haika Mawala akiongea mara alipotembelea hospitali hiyo akiwa na lengo la kutoa msaada kwa kina mama wanaosumbuliwa na ugonjwa wa festula mara alipowasili nchini hivi karibuni,Kushoto Ofisa Mkuu wa masoko na mahusiano wa Vodacom Tanzania Mwamvita Makamba.
Mkurugenzi Mtendaji wa Vodafone Vitorio Colao(kulia)akifafanua jambo kwa baadhi ya wakuu wa idara mbalimbali za Vodacom Tanzania,alipokuja nchini hivi karibuni kujionea jinsi Vodacom Tanzania inavyoendesha shughuli zake,kutoka kushoto Steven Kingu,Nector Foya,Evancy Limo,Philimon Chacha.
Baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wakiwa wameshikilia bendera ya Taifa kwenye siku ya Vodacom 50 year Independent day na kumpokea Mkurugenzi Mtendaji wa Vodafone Vitorio Colao,alipokuja nchini hivi karibuni kujionea jinsi Vodacom Tanzania inavyofanya shughuli zake.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...