Wakinamama wajasiriamali wadogowadogo wa  kijij cha Kitangari Wilaya ya Newala Mkoani Mtwara,wakiwa wameketi wakisubiri kupatiwa mkopo wa fedha taslimu unaotolewa na Vodacom Tanzania kupitia mradi wake wa MWEI unaowakopesha wakina mama hapa nchini bila riba.
 Meneja wa Vodacom Tanzania  wa  Mradi wa  MWEI Mwamvua Mlangwa  akimpatia Mwanaidi  Musa  mkopo wa fedha taslimu       kwa ajili ya kufanyia biashara zake na kuzirudisha fedha hizo bila riba yoyote,aliyekaa kushoto ni Mratibu wa Mfuko huo Ally Mbuyu.
 Meneja wa Vodacom Tanzania  wa  Mradi wa  MWEI Mwamvua Mlangwa  akiongea na wakinamama wajasiriamali wadogowadogo wa  kijij cha Kitangari Wilaya ya Newala Mkoani Mtwara,kabla ya kuanza kuwapatia  mikopo ya fedha taslimu zinazotolewa na Vodacom Tanzania kupitia mradi wake  wa MWEI unaowakopesha wakina mama hapa nchini na kurudisha fedha hizo bila riba.
Wakinamama wajasiriamali wadogowadogo wa  kijij cha Kitangari Wilaya ya Newala Mkoani Mtwara,wakimsikiliza Meneja wa Vodacom Tanzania  wa  Mradi wa  MWEI Mwamvua Mlangwa hayupo pichani ,wakati  wakisubiri kupatiwa mikopo yao ya  fedha taslimu zinazotolewa na Vodacom Tanzania kupitia mradi wake wa MWEI unaowakopesha wakina mama hapa nchini bila riba.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...