Tunaomba kuwajulisha wapenzi wa website yetu ya www.dullonet.com/ kuwa kuna matatizo ya kiufundi hivyo haipatikani hewani katika mfumo
uliozoeleka, lakini pia tunapenda kuwafahamisha kuwa wanaweza kupata
habari za michezo burudani na sanaa kutoka katika webpage yetu ya
www.dullonet.com/sports.
Zaidi tunapenda kuwaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza kutokana na
sababu zilizo nje ya uwezo wetu lakini tunaendelea kulishughulikia.
Kwa maoni na ushauri wasiliana nasi kwa info@dullonet.com
Asante
Web Admin.
uliozoeleka, lakini pia tunapenda kuwafahamisha kuwa wanaweza kupata
habari za michezo burudani na sanaa kutoka katika webpage yetu ya
www.dullonet.com/sports.
Zaidi tunapenda kuwaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza kutokana na
sababu zilizo nje ya uwezo wetu lakini tunaendelea kulishughulikia.
Kwa maoni na ushauri wasiliana nasi kwa info@dullonet.com
Asante
Web Admin.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...