![]() |
Marehemu Upile Msamati |
Prof Boniface C. Msamati na Bi Felistas Msamati wa Dar es salaam wanasikitika kutangaza kifo cha mtoto wao mpendwa Upile Msamati kilichotokea jijini London Uingereza taraehe 14/ 10/ 2011.
Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwao Jet Lumo Dsm.
Mazishi yatafanyika mara baada ya taratibu zote kukamilika.
Habari ziwafikie ndugu jamaa na marafiki popote walipo.
MY GOD, POLENI SANA WAFIWA,
ReplyDeleteJAMANI NAULIZA TU, KAMA ATAKUWA NI YULE NINAYEMFAHAMU AMA LA, NANCY TAUSI, THERESA TAUSI AMA GEORGINA, NI YULE MJOMBA AMA! MIMI NI LETTY,
POLENI SANA WAFIWA, KAKA GODY MSAMATI HUYU NDIYE YULE NDUGU YAKO NINAULIZIA JAMANI POLENI SANA WAPENDWA MUNGU AWATIE NGUVU. AMENIPOTEA KIDOGO, LAKINI SURA KAMA INAKUJA VILE,
ReplyDeleteMUNGU AILAZE MAHALI PEMA PEPONI.