Home
Unlabelled
nyumba inauza Kihonda-Bima, Morogoro
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
is this a house or kiwanja? na hiyo bei! lord have mercy!
ReplyDeleteduh kaka michuzi hicho ni kiwanja tu, nyumba imejengwa miaka 20 iliyopita imechoka hivyo???? punguza bei maana unauza kiwanja tu.
ReplyDeleteby wanchope-sweden
Have mercy Indeed,,,mdau wa 1st!!
ReplyDeleteIts redicoulous...
Mdau MISSISSIPPI
CC twaliita boma na sio nyumba kwani haijakamilika kuitwa nyumba
ReplyDeleteKaka Michuuzi hiyo siyo nyumba ni Pagala au MG hizo mnaita nyumba?
ReplyDeleteKWELI KAKA MICHUZI ATAKAYENUNUA HAPO HAWEZI KUEZEKA KWENYE HIYO NYUMBA BALI LAZIMA AIANGUSHE CHINI AJENGE MPYA. TAFADHALI BADILISHA KAULI SEMA KIWANJA KINAUZWA KWA VILE PIA KUNA GHARAMA KUBWA ZA KUBOMOA HILO PAGALI
ReplyDeleteHAPO KIBOKO! HUYO MUUZAJI ANGESEMA ANAUZA KIWANJA KILICHOKUWA NA MWANZO WA WA KUJENGA NYUMBA
ReplyDeletehicho kichwa cha habari vipi? nani anauza nini? mtu anauza au nyumba inauza...? teh teh teh hapa lugha gongana vibaya....
ReplyDelete