Waziri Mkuu Mh Mizengo Pinda  akimkabidhi zawadi ya bidhaa mbalimbali za kilimo  za Tanzania na jarida, Mtendaji Mkuu wa Kituo cha Utafiti wa mazao ya kilimo cha Embrapa kilichopo, Brasilia, Bw. Francisco Basilio wakati alipotembelea Kituo hicho akiwa katika ziara ya kikazi nchini Brazil. Picha na Mdau Hilary Bujiku wa PMO

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...