Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Mkurugenzi mkuu wa Commonwealth Business forum Dkt.Mohan Kaul mjini Perth, Australia ambapo anahudhuria mkutano wa wakuu wa nchi za jumuiya ya madola.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Makamu mtendaji wa kampuni ya kuzalisha mafuta ya Shell Bwana Guy Outen jijini Perth Australia.
Picha na Freddy Maro.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...