Assalama aleykum
Tunapenda kutoa taarifa ya hitma ya mzee wetu marehemu Said Shikamkono (pichani) itakayofanyika leo Jumamosi tarehe 22/10/11 saa saba adhuhri, inshallah, nyumbani kwa marehemu WOOLWICH DORCKYARD address ni 405 Francis street.SE18 5JU 
Wake kwa waume wote mnaalikwa 
na anaesikia tangazo hili amuarifu mwenzake.

wasalaam

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...