Mkurugenzi wa Kampuni ya Shear Illusions na Mwenyekiti Kamati ya Maandalizi Shear Charity Ball,Shekha Nasser akizungumza wakati wa tafrija ya kuchangisha fedha za hisani ya (Shear Charity Ball 2011) yenye lengo ya kutunisha mfuko na kusaidia akina mama wenye matatizo ya fistula katika hospitali ya CCBRT na pia kuwezesha ukarabati wa mfumo mzima wa maji safi na maji taka katika hospitali ya Amana.hafla hii imefanyika usiku huu katika hoteli ya Movenpic,jijini Dar es Salaam.
Mgeni Rasmi katika  tafrija ya kuchangisha fedha za hisani ya (Shear Charity Ball 2011) yenye lengo ya kutunisha mfuko na kusaidia akina mama wenye matatizo ya fistula katika hospitali ya CCBRT na pia kuwezesha ukarabati wa mfumo mzima wa maji safi na maji taka katika hospitali ya Amana,Dr. Hellen Senkoro akizungumza katika tafrija hiyo usiku huu.
 Ofisa Mtendaji Mkuu wa Hospitali ya CCBRT,Erwin Telemans akizungumza katika hafla hiyo.
Meneja Mawasiliano wa Tume ya Mawasiliano Nchini ambaye pia alikuwa ni mmoja wa wanakati waliofanikisha tafrija hii,Innocent Mungy akizungumza katika tafrija hiyo usiku huu.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bia ya SBL,Richard Wells akizungumza katika hafla hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...