Hamza Kamara kutoka Sierra Leone, akiwa kwenye mazoezi ya asubuhi ya leo kujiweka tayari kwa kliniki ya soka ya kimataifa ya Airtel Rising Stars ambayo itaanza rasmi kesho tarehe 30 kwenye Uwanja wa Taifa chini ya ukufunzi wa makocha kutoka Manchester United. Kliniki hiyo itakuwa na washiriki kutoka Kenya, Malawi, Sierra Leone na Tanzania.
Home
Unlabelled
vijana walioingia kwenye kliniki ya airtel rising stars waendelea kujifua
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...