Waziri Mkuu Mh Mizengo Pinda akimpa pole Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Mh  Zitto  Kabwe ambaye amelazwa katika hospitali ya Taifa ya Muhumbili kwa Matibabu. Madaktari wamesema anasumbuliwa na Malaria na kwamba anaendelea vyema na matibabu. Picha na mdau Hilary Bujiku wa PMO

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 18 mpaka sasa

  1. Pole saaaana kaka yangu Zitto. Mungu yuko nawe, atakutia nguvu, atakushika kwa mkono wake wa kuume. Usiogope, utapona kwa JINA LA YESU.

    I PRAY FOR YOU PSALM 91.

    ReplyDelete
  2. Zito pole sana kaka,pata matibabu mola atakujaalia,utapona haraka, utaendelea na shughuli zako kama kawaida. Jamani tumuombee Zito Kabwe apone haraka.

    ReplyDelete
  3. Pole mheshimiwa, i wish u quick recovery

    ReplyDelete
  4. Pole sana Mheshimiwa Zitto.Tunakuombea kupona haraka. Afya yako njema ni afya njema kwa nchi yetu pia.
    GLK

    ReplyDelete
  5. pole sana muheshimiwa Zitto, Mwenyezi Mungu atakuafu kwani tunakuhitaji sana katika Taifa letu

    ReplyDelete
  6. Zitto, pole sana mkubwa. Kama sikosei, hii ni mara ya pili ndani ya miaka miwili unazidiwa na malaria hadi kufikia hatua ya kulazawa. Ni kwa nini kaka? Ninaamini hali hiyo inazuilika, jitahidi kuzingatia taratibu za kujihadhari na malaria na kuwa unaangalia afya yako mara kwa mara. All in all, pole sana na ninaungana na Watanzania wanaokuombea upone haraka ili uendelee na lile picha ulilolisitisha kwa sasa.

    ReplyDelete
  7. eeh!.. huyo Mh.Zitto mbona hali inaonekana tete jamani?

    ReplyDelete
  8. Get well soon!

    ReplyDelete
  9. Get well soon!Taifa linakuhitaji!

    ReplyDelete
  10. MHE. ZITTO KABWE(MB)

    CCM UK IMEPOKEA KWA HUZUNI HABARI ZA KUUGUA NA KUTOJIWEZA KWAKO KIAFYA NA TUNAKUOMBEA TIBA MAKINI NA KUPONA KWA HARAKA.

    MAINA OWINO.
    CCM UK

    ReplyDelete
  11. CCM UK, hahha pole kaka utapona tu! chadema hoyeeeeeeeeeee

    ReplyDelete
  12. Zito Mungu akupe afya kaka na upone haraka

    ReplyDelete
  13. pole mkuu!!!nakutakia kupona haraka.

    ReplyDelete
  14. Mwenyezi Mungu akujalie afya njema.Akubali tiba za madakitari.
    Nakubali kauli zako zilizonyoka.
    POle tupo pamoja kwa sala Mola wetu tukikuombea
    Mbogolo
    0758950950

    ReplyDelete
  15. CHADEMA UK tumepokea kwa mshtuko mkubwa habari hii na tunakuombea upone haraka na shetani ashindwe, tuwe nawe tena katika chama chetu. Chadema oyeeeeeeeeeeee

    ReplyDelete
  16. Allahu jamiina bil afyat wassalama wahaqiqina bitaq'wa walistiqama waidhina bil mujibat nnadama inaka samiu duaah.inshaallah mungu akuafu na utapona inshaallah Hembe letu Zito Zubeir Kabwe.
    Hashim K

    ReplyDelete
  17. Pole sana lakini malaria gani hiyo yakutibiwa India?

    ReplyDelete
  18. We Newton:Sat Oct 29,02:33:00 toa tu salaam kawaida. Hakuna cha Chadema UK wala nini.Usiige hadi maneno. Nyura shamshafu, meku.

    mjomba Malewo.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...