Mwenyekiti wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT),Dioniz Malinzi akimkabidhi bendera ya Taifa,Kapteni wa timu ya Taifa Stars,Henry Joseph pamoja na kocha wa timu hiyo,Jan Paulsen leo jioni kwenye hafla fupi ya kuagwa kwa ajili ya mchezo wao dhidi ya Chad.
![]() |
Bendi ya Muziki wa dansi, Kalunde band ikiongozwa na Deo Mwanambilimbi a.k.a Mzee Goba (pichani nyekundu) wakitumbuiza jioni ya leo kwenye hafla hiyo. |
Endapo mnaenda kupigana kama mzazi anayemuokoa mwanae kutoka katika nyumba inayowaka moto, basi kwa herini na kila la heri.
ReplyDeleteLakini kama ni yale yale tu mliyotuzoesha, nyie nedeni tu mtengeneze kipato chenu. Mimi hayanihusu.
Hao wanaume wanatunzwa kama mboni ya jicho lakini juhudi zao wakiwa uwanjani hazilingani na huduma wanazozipata. Hivi tatizo ni mwl au/ wachezaji au watz hatujui mpira? Wadau mmedundua tatizo liko wapi?
ReplyDeleteTuna tatizo kubwa sana kwenye benchi la ufundi. Shida ni kuwa waandishi wa habari walifanya kazi kubwa sana kumng'oa Maximo kiasi kwamba wanaogopa kusema ukweli juu ya Mdenimaka.
ReplyDeleteAngalia hata wachezaji kwenye picha hiyo wanaonesha kutojiamini tofauti kabisa na walipokuwa wanafunzwa na Mbrazili.
Tusubirie kudra tu lakini kwa mbinu Babu hawasaidii kabisa vijana.
Soka la Tz ni la majuju tu na sio la kiufundi na matayarisho ya zima moto, ndio maana Taifa haifiki kamwe. Ngoja tuone kama kawaida tu.
ReplyDeleteSiku hizi timu haichezi 'friendlies'nyingi kama wakati wa Maximo.Offcourse Chad tutawang'oa lakini..
ReplyDeleteDavid V
Masikini maximo walimsakama buuuure, mimi sioni kigeni heri ya maximo tutamkumbuka. Huyu hasemwi kwakuwa mdhungu. Ni kutilia mkazo ktk mafunzo (mazoezi) na uhamasishaji,iko siku tutatoka tusikate tamaa. Kila la heri vijana wetu mwende mkatuletee ushindi, tuitangaze Tanzania ulimwenguni kote.
ReplyDelete