Mkuu wa mkoa wa dar es salaam mh.Said Meck Sadiki akitoa shukrani kwa
Mkurugenzi wa kampuni ya konyagi bw David Mgwassa, kwenye makabidhiano
ya vifaa vya usafi vilivyotolewa na kampuni hiyo kwenye ofisi ya mkuu wa
mkoa wa Dar es salaam.
Mkurugenzi wa Kampuni ya konyagi Bw David Mgwassa (kulia) anaeonekana akiwa pamoja na wafanyakazi wa halmashauri ya jiji la
dar es saalam waliokabidhiwa vifaa vya usafi wa jiji na kampuni ya
kinywaji cha konyagi katika ofisi ya mkuu wa mkoa.
Bado tunayo njia ndefu sana kufikia lengo la usafi.
ReplyDeleteUtaona wandugu yuko kwenye gari nzuri aina ya land cruiser, nissan patrol na prado lakini anashusha kioo cha dirisha na kutupa chupa ya maji barabarani kweupe!
Ushamba ulioje.
Huu ni Ujuzi wa mwaka1947, Watanzania fumbueni macho mtumie vifaa vya kisasa.
ReplyDeleteStreet-Sweeper-ZLJ5050TSL-.jpg
Mini-Road-Sweepers.jpg
Ujenzi wa barabara ya mamilioni halafu inatunzwa na ufagio wa sh elfu moja. NI AIBU KUBWA