Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Lawrence Mafuru akibonyeza kitufe kuzungumza na mmoja wa wahudumu wa wa kituo kipya cha huduma kwa wateja cha benki hiyo kilipozinduliwa jijini Dar es Salaam leo.Kulia ni Meneja Huduma kwa Wateja, Jane Dogani, kushoto ni Ofisa Mwendeshaji Mkuu wa NBC,Maharage Chande na wapili kulia ni Meneja wa Kituo hicho, Ngwitika Mwahesya.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Lawrence Mafuru (katikati) akizungumza wakati wa uzinduzi wa kituo kipya cha huduma kwa wateja cha benki hiyo jijini Dar es Salaam leo. Wengine kutoka kushoto waliokaa ni Ofisa Mwendeshaji Mkuu wa NBC, Maharage Chande, Meneja wa kituo hicho, Ngwitika Mwahesya na Meneja Huduma kwa Wateja, Jane Dogani.
Baadhi ya wafanyakazi wa NBC wakishuhudia uzinduzi wa kituo kipya cha huduma kwa wateja wa benki yao jijini Dar es Salaam leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. habari haijakamilika! waandishi mbumbumbu! kujua kuwa kimefunguliwa haiwasaidii wateja, ila kujua kimefunguliwa na kipo wapi itawasaidia wateja!!! BACK TO GOOD SCHOOL!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...