Mkurugenzi Mkuu wa CRDB,Dr. Charles Kimei akizungumza na waandishi wa habari wakati wa hafla ya funga mwaka iliyofanyika hivi karibuni jijini Dar.
 Tuzo mbali mbali zilitolewa kwa wafanyakazi wa CRDB siku hiyo.
 Mkurugenzi Mkuu wa CRDB,Dr. Charles Kimei akifurahi jambo na Mkurugenzi wa NBC,Lawrence Mafuru
Picha na Baadhi ya wafanyakazi waliotunukiwa tuzo siku hiyo.
Msanii wa Muziki wa Bongo Fleva,Diamond akitumbuiza katika hafla hiyo.
Kwaito hapa ndio mahala pake.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Ngoma ya Mganda ni mbadala mzuri wa muziki wa Kwaito kwa watanzania maana nayo inaenda kwa step kama kwaito.... changamoto kwa wasanii wa nyumbani kuiondoa kwaito na kutuwekea ya kwetu kama ambavyo mmefanikiwa kuiondoa ndombolo na mabolingo ya ki-zairwaa

    ReplyDelete
  2. Mzee Kimei kazi nzuri unayoifanya CRDB. Mfano wako unapaswa kuigwa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...