Meneja Mkazi wa Coca-Cola Tanzania Dimeji Olaniyan (kushoto) akigongeana glasi na Meneja Mkuu wa Mauzo wa Bonite Bottlers Christopher Loiruk wakati wa uzinduzi rasmi wa Juisi ya Minute Maid inayozalishwa na kampuni hiyo. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam.
Meneja Mkazi wa Coca-Cola Tanzania Dimeji Olaniyan (kushoto) akigongeana glasi na Meneja Mkuu wa Mauzo wa Bonite Bottlers Christopher Loiruk (kushoto) na katikati ni Meneja Masoko wa Coca-Cola Tanzania Salome Mabirizi wakati wa uzinduzi rasmi wa Juisi ya Minute Maid inayozalishwa na kampuni hiyo. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...