Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Magari ya Scania Nchini,Mark Cameron (katikati) akifungua mlango wa basi jipya la Kampuni hiyo lililopewa jina la Dar Coach wakati wa uzinduzi wa basi hilo uliofanyika leo kwenye stendi kuu ya mabasi yaendayo mikoani Ubungo,Jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Magari ya Scania Nchini,Mark Cameron akizungumza kwenye hafla fupi ya uzinduzi wa basi jipya la abiria ambalo limetengenezwa maalum kwa ajili ya waTanzania,leo kwenye stendi kuu ya mabasi yaendayo mikoani Ubungo,jijini Dar.
Meneja Mauzo wa Kampuni ya Scania Tanzania,Godwin Rwegasira akizungumza katika hafla hiyo.
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Magari ya Scania Nchini,Mark Cameron akionyesha namna ya kuliendesha basi hilo kwenye uzinduzi wa basi hilo uliofanyika leo kwenye stendi kuu ya mabasi yaendayo mikoani jijini Dar es Salaam.









ningependa kuona picha za basi zaidi kuliko watu, hata ukiniwekea picha ya marketing manager yeye siyo product.
ReplyDeleteungetupigia picha kwa ndani na nje linaonekanaje, lakini hapo umeuza sura tu.hata hivyo sisi mashabiki wa scania tunasema asante.
naona scania wanafanya counter-attack kwa yutong za kichina.....nani alikwambia ushindani wa kibiashara siyo jambo zuri?
fix tupu hizo mara uje sikia ni mradi wa mwanafulani.
ReplyDeleteTujifunze watu wanapotaka habari wanataka waone taswira za subject. yaani basi. Sio mtangazaji au kama hapo huyo mzungu na Mr. dar express. Kifupi hawa ma Afisa habari huwa wana poteza maana ukiwaendekeza. Pia maelezo mengi mno kuliko subject. Tuone taswira ya subject.
ReplyDeleteMichu wewe mwandishi mzuri, how come these.
Je hilo basi la ghorofa?
ReplyDeletesafi sana scania,jee bei yake mbona hujasema uncle.........
ReplyDeleteTunaomba picha zaidi za mabasi haya
ReplyDeletewangetueleza lina kitu gani tofauti na mabasi mengine kwa upande wa usalama na comfort ya abiria
ReplyDeletendani kuna choo, hakuna haja ya kondakta au utingo wala mpiga debe hahitajiki. sensors za wachafua hewa na kadhalika.
ReplyDeleteKaka nakubaliana na wadau kadhaa hapo juu.
ReplyDeleteMtueleze lina FICHAZ gani mpya tofauti na ya zamani waliyokuwa wakitengeneza kama MAKO POLO, hilo ndio la muhimu, sio kutuambia tu scania wametoa basi jipya.
HAITUSAIDII. Tujifunze MAKETING na BRANDING. Hata marketing ndogo tu hivi inatushinda? Halafu tumekalia kulalamika tu ooo "Watani wetu wa Jadi" wanatufanya hivui, mara vile, kumbe tunajilegeza wenyewe.
watu mnamambo he nanyie si mnunue yenu mkapige nayo picha??picha zote mlizowekewa bado hamjaridhika basi kama vipi mi nadhani nendeni ubungo mkalione live ikibidi mpande kidogo.
ReplyDeleteIli biashara ieleweke vizuri ingefaa mtujulishe litafanya safari zake njia gani. Mikoa ipi na gharama zake.
ReplyDeleteyani bongo kila kitu kuzindua, kuzindua huh! mtu akitunga wimbo au movie anazindua sijui nini tabu kweli.
ReplyDelete... ndiyo basi jipya, kwahiyo????????
ReplyDeleteAhhh makubwa basi jipya lina choo ndani na sensors za wachafua hewa ndani?...sawa litafaa maana pana wale ktk safari wanajisahau wanauchapa usingizi halafu wanaachia upepo pyuuu, duh tatizo limepata ufumbuzi kwa hiyo hatatafutwa mchawi au nani kaachia bomu kwa kuangalia viti vya nyuma au labda mbele....enhh haya mapya!
ReplyDeletekama tunaweza nunua magari yakisasa namna hiyo kwanini tusinunue ambles kwa ajili ya kusaidia nchi yetu kwani ni maskini wengi wanafia njiani wakielekea hospitalini kwa baisikeli au nikutaka ufahari watanzania tuamke na tuangalie mbele
ReplyDeleteNaona scania mmejitahidi ila tu bei ya gari mjitahidi kupunguza il I tuachane Na malori
ReplyDelete