Home
Unlabelled
kibao cha namba za usajiri za gari hili kiko wapi??
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Gari ya dola hiyo. Acha kelele, unafikiri mwanajeshi wa USA akija TZ anakuja na passport?
ReplyDeleteUsijali dereva amekariri kichwani haina haja ya kukiweka.
ReplyDeleteKiko mbele, kiangalie vizuri. How can you ask us such question while you are the one who saw it. You might ask the driver/ owner not us.
ReplyDeleteGari lenyewe pia ni takataka.. sasa namba za nini?
ReplyDeleteGari lenyewe unaona kazi yake, michuruziko hadi mwekye matairi. Nimeona hata mataifa yaliyotupita kwa maendeleo magari kama haya hayana plate number hapo nyuma kwa vile yanatambuliwa kazi yake, kuna sehemu plate namba ipo.
ReplyDeleteJaribu kuwauliza wahusika watakueleza vinginevyo wasingeacha gari liwe linatembea kila siku. wakati mwingu tuko wavivu kufikiri.
Kwani tatizo nini? Kama namba ya gari kwanini hukumuuliza dereva?
ReplyDeletePlate number ni takataka zaidi, imeshatangulia kinyamwezi "ukweni kwangu".
ReplyDeletewe mwenyewe hujasajiriwa ndio maana unataka kuona kibao ja usajiri badala ya usajili lol wapi babu kifimbo cheza mchafuzi wa lugha wewe halafu eti unajidai kuuliza upuuzi.
ReplyDeleteMagari haya yaundiwe kampeni kama ile ya wakati ule RPC Tibaigana aliposema breakdown zote lazima ziwe road worthy. Hapa napo kamanda Mpinga achangamke asisubiri kuambiwa
ReplyDeleteUsajiri mmmmmhhh hii itakuwa imesajiriwa geshini. Michuzi ni USAJILI sio usajiri.
ReplyDeleteWewe yaelekea u mgeni katika mji/nchi hii. Hapa kwetu plate number haina maana yeyote kwa wenye nchi yao. Ina maana weye ndio mwenye macho makali ya kuona haya? Tuache sie tumeshajizoelea.
ReplyDeleteWatu mmeona hilo Gari tu mnapenda kulalamikia Serikali na Almashauri za jiji je hao wapita njia je kupita hapo haki au nauliza tu.
ReplyDelete