Mdau Mohamed Abdulkarim Kipukuswa na mai waifu wake Asia Mohamed wakiwa katika mnuso waop wa nguvu hoteli ya Vatican jijini Dar baada ya kumeremeta wikiendi ilopita. Kipukuswa, ambaye ni mpenzi sana wa Simba SC na Bwawa la Maini, ni afisa masoko kampuni ya Shey's Limited wakati bi harusi yuko CBE mwaka wa pili akisaka nondozzz ya biashara
mmmmmmmmwwwwwwwwwwaaaaaaaaaaa................
Maharusi na mwenyekiti wa kamati ya maandalizi baada ya kumeremeta
Ni furaha kwa kwenda mbele.
MASHALLAH, Alhamdullilah Hongera Mohamed kwa kufanikiwa kufunga ndoa!!!!
ReplyDeleteINSHALLAH ,Mwenyezi Mungu ajaaliye utulivu ktk ndoa yenu!
Wamependeza sana!!! Hongera.
ReplyDeleteMaashaallah!!! mmependeza maharusi na mwenyezi mungu ajaalie ndoa yenu idumu milele.Lakini jambo moja tu kuhusu vinywaji vya pombe na ndoa za kiisilamu haviendi.
ReplyDeleteMMEPENDEZA SANA. MWENYEZI MUNGU AIBARIKI NDOA YENU.
ReplyDeleteHongera bi Asia. Mtunze mumeo ni lulu huyo
ReplyDeleteHALOOOOO!
ReplyDeleteAlhamdullilah, picha ya chini imetulia inadhihirisha kicheko cha bashasha kuashiria kuwa kuanzia muda huo Mdau Sheikh Mohamed ni baba mwenye nyumba!
ReplyDelete