Wapendwa wana Malangali na wote wenye mapenzi mema na shule kongwe ya Malangali iliyoanzishwa tarehe 16/4/1928, kwa niaba wa kamati tendaji ya muda ya Malangali Alumni Association, napenda kuwakaribisha wote waliowahi kusoma shule ya Sekondari Malangali kwenye Mkutano Mkuu wa Mwaka utakaofanyika tarehe 11/12/2011 katika ukumbi wa Chonya Bar, Ubungo – Riverside, kuanzia saa 8 Mchana. Tafadhali mjulishe na mwenzako. Karibu tujikumbushe yale ya shule yetu pendwa Malangali.

Unaomba uthibitishe ushiriki wako kwa:

Katibu wa muda: 0717086135 / 0787525396

Mwenyekiti: 0784272411

Asanteni sana.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...