Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Dkt Edward Hosea akimkabidhi sukari Mwalimu Mkuu wa shule ya watoto wenye mahitaji maalum iliyopo Masiwani Jijini Tanga, Bw. Omari Masukuzi, wakati mkurugenzi huyo alipotembelea shule hiyo kutoa msaada wa vifaa mbalimbali vya stadi za kazi na vyakula.
Vifaa ambavyo vimetolewa na TAKUKURU kwa shule ya watoto wenye mahitaji maalum wakiwemo viziwi, wenye mtindio wa ubongo na walemavu iliyopo eneo la Masiwani Jijini Tanga, vifaa ambavyo vyote nina thamani ya shilingi 500,000 (Laki tano).
Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Dkt Edward Hosea akiwa amepiga picha ya pamoja na walimu na wanafunzi wa shule yenye mahitaji maalumu iliyopo eneo la Masiwani Jijini Tanga, (kulia) ni Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Bibi Lilian Mashaka. (Picha na Mdau Mashaka Mhando).
Baadhi ya wanafunzi wanaosoma katika shule ya watoto wenye mahitaji maalum iliyopo eneo la masiwani Jijini Tanga, wakiwa wamehudhuria hafla fupi ya kukabidhiwa zawadi kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Dkt Edward Hosea.
WATOO badala ya WATOTO. AJALI VIDOLENI¬¬¬¬¬¬¬¬
ReplyDelete