Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji) Dk. Mary Nagu (katikati) akimpongeza mama aliyejifungua salama alipotembelea wodi ya Mama wajawazito katika hospitali ya Manispaa ya Temeke kabla ya kuongoza matembezi ya hisani ya Saidia Mama Mjamzito Ajifungue Salama yaliyoandaliwa na Taasisi ya Madaktari wahitimu wa vyuo vikuu Tanzania (THPI) ambayo yalianzia katika Hospitali ya Manisipaa ya Temeke hadi katika Ofisi za Manisipaa ya Tameke, leo jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji) Dk. Mary Nagu (katikati) akiongoza matembezi ya hisani ya Saidia Mama Mjamzito Ajifungue Salama yaliyoandaliwa na Taasisi ya Madaktari wahitimu wa vyuo vikuu Tanzania (THPI) ambayo yalianzia katika Hospitali ya Manisipaa ya Temeke hadi katika Ofisi za Manisipaa ya Tameke, leo jijini Dar es Salaam.
Washiriki wa matembezi ya hisani ya Saidia Mama Mjamzito Ajifungue Salama wakielekea katika Ofisi za Manisipaa ya Temeke, leo jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hawa waandamanaji wanakibali ? Tunaomba kuona kibali chao.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...