Home
Unlabelled
KP LEO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
hahahaha, nimeipenda hyo na ntakuwa wa kwanza kununua hyo tshirt
ReplyDeletehaaahaaa duh... ama kweli insikitisha. I luv my country
ReplyDeleteKwa kweli kauli za Magufuli ni sawa kabisa, nauli iliokuwepo ni kidogo mno.
ReplyDeleteKudos magufuli.
Kuna dada mmoja katoa maoni kupitia kwenye blog ya othman Michuzi.
http://othmanmichuzi.blogspot.com/2012/01/mnalenu-jambosio-bei-mpya-ya-kivuko.html
Kwamba wabongo tumezoea kuambiwa UONGO, sababu tunapenda kuambiwa uongo.
Kwa hili naku support Magufuli.
Kipanya, amesahau ile ya Waziri mkuu Msuya enzi zake " kila mtu atauchukua mzigo wake na watoto wake"
ReplyDeleteKweli imedhihirika kuwa Sirikali yetu ni wafanya biashara kwa karibu kila kitu!
ReplyDeleteKARIBU KILA KITU PESA:
1.Pasipoti kwa gharama zetu!
2.Vyeti vya kuzaliwa ,doa na kifo kwa gharama zetu!
3.Nyingi za huduma za Kiaraia ambazo hata nchi masikini wenzetu zina gharimiwa na Serikali zao chovu hapa kwetu hakunaga bure, kila kitu pesa mbele!
SIO AJABU:
4.Utaweza kuja kusikia KUPIGA KURA kwa gharama zenu pia!
5.Kutaka kumuona Kiongozi kwa PESA!
Hii bei ni KUBWA MNO kwa vile wacha huko nchi zilizoendelea humu humu nchi jirani kama Likoni Mombasa-Kenya na Nkata Bay-Malawi pana vivuko kwa wale bandugu (TZ 11),,,watumiao usafiri wa miguu yao miwili, yaani waenda kwa miguu ni BUREEE!
Kweli imedhihirika kuwa Sirikali yetu ni wafanya biashara kwa karibu kila kitu!
ReplyDeleteKARIBU KILA KITU PESA:
1.Pasipoti kwa gharama zetu!
2.Vyeti vya kuzaliwa ,doa na kifo kwa gharama zetu!
3.Nyingi za huduma za Kiaraia ambazo hata nchi masikini wenzetu zina gharimiwa na Serikali zao chovu hapa kwetu hakunaga bure, kila kitu pesa mbele!
SIO AJABU:
4.Utaweza kuja kusikia KUPIGA KURA kwa gharama zenu pia!
5.Kutaka kumuona Kiongozi kwa PESA!
Hii bei ni KUBWA MNO kwa vile wacha huko nchi zilizoendelea humu humu nchi jirani kama Likoni Mombasa-Kenya na Nkata Bay-Malawi pana vivuko kwa wale bandugu (TZ 11),,,watumiao usafiri wa miguu yao miwili, yaani waenda kwa miguu ni BUREEE!
SAWA AMRI HIYO (PIGENI MBIZI) SIYO HUKUMU YA KIFO, BAADA YA ADA YA KIVUKO KUPANDA!
ReplyDeleteAngalau mngetoa mafunzo ya BURE ya kuogelea kwanza!
Big up KP! Tunataka watu kama wewe ambao mna-dare kusema ukweli kweupeee! Endelea kuwaelimisha wadau bwana, fungu lako liko Mbinguni, usijali. Tunakuombea na tupo pamoja sana tu, zifyatue hizo fulanaz muda muafaka ukifika!
ReplyDeleteMi nimefurahi magufuli alivyosema.hao wabunge kwanini wasitututee umeme ukipanda ka sio chuki binafsi.Big Up Magufuli
ReplyDeleteNauli kupandishwa haina tatizo hilo ni jambo la kawaida, tatizo hawakuwahusisha wadau na pili maneno ya kupiga mbizi au mrudi kijijini ni ya kihuni. Magufuli amekosea kwa kutoa maneno ya mtaani wakati yeye ni kiongozi hapo ndo tunapopingana, ila kwa kuongeza nauli tuko pamoja kama utaratibu unafuatwa
ReplyDeleteMimi nataka pantoni ziwepo na siyo zife kwasababu nauli kidogo..Huko bara vivuko bei mbaya kwanini dar es salaam shs 200 kubwa???
ReplyDeleteNimesikitishwa na hayo majibu ya waziri magufuli,kupandisha nauli ni sawa lakini tuwe na namna nzuri ya kuelimesha watu.inawezekana wasikuelewe lakini lugha nzuri ni muhimu.uongozi ni utumishi au sio?
ReplyDeleteKipanya itoe hiyo Tshirt kesho asubuhi manake wale wanaojua kukopy na kupaste saa hizi wanatengeneza zao ukishangaashangaa utakuta wenzio kesho jioni wameanza kuuza.
ReplyDeleteKP ni wazo zuri ila ongeza space kwani mpaka 2015 vitakuja vingi kama vitalu vya uwindaji na midura ya migodini ni kwa wakubwa tu etc, etc
ReplyDeleteKuna Watanzania huwa tunawaona kwenye mitandao ya kijamii wanataka ubepari. Kulipia kila kitu ndio ubepari wenyewe huo. Yaani lazima umlipe bepari,na serikali inaruhusu hivyo kwa sababu bepari lazima arutubishwe ili awaajiri makabwela. (kiukweli bepari anaajiri makabwela wachache na anabania mishahara) Lakini kinadharia ndio mpango unavyjulikana.
ReplyDeletekipanya fanya haraka ukaweke hati miliki maana hiyo inauzika tena kesho na siyo 2015.wasije wezi wakafyatua T shirt kesho.Mimi ikitoka mteja namba moja.hayo maneno ya wakuu wa nchi yatawageuka 2015 Mungu anawaonyesha watanzania nini cha kufanya.
ReplyDeleteKama hujui kupiga mbizi hamia Dodoma. Hakuna cha bure dunia hii.
ReplyDeleteTatizo linabaki kwa sisi wenye namba za Usajili wa Magari yetu (TZ 11) yaani tunaotembea kwa miguu!
ReplyDeleteGharama hii Shs. 200/= ni kubwa mno, hata hiyo Shs. 100/= ilikuwa ni nyingi sana ukizingatia sisi wengi ni akina ABA CHOLILE!
Mie namuunga mkono Magufuli kwa 100%! nauli shs 100 tangu 1995 hadi leo? ebo! gharama za uendeshaji mwazijua? acheni uswahili jamani twende na wakati! namsifu kwa ukweli! Pigeni mbizi ndio acheni utoto
ReplyDeleteMagufuli yuko sawa, kwanza hiyo nauli yenyewe bado ni ndogo sana ukilinganisha na gharama za uendeshaji. Tatizo ni kuwa tumezoea kudanganywa tukiambiwa ukweli inakuwa tatizo.
ReplyDeleteSh. 200/= kwa Mafisadi ni ndogo lakini kwa sisi Wangere mange ni kubwaaa,,,unakuta mtu unaua kenge kwa kutembea kwa mguu huko utokako ukielekea Kigamboni ili mradi unabakisha angalau Sh. 100/= uweze kuvuka tu!.
ReplyDelete